Bwana Yesu asifiwe
Mpendwa ninayo furaha kukukaribisha kwenye blogu yetu mpya ya Betheli Halisi. Lengo la blogu hii ni kuchapisha neno na masomo ya kiroho kwa ujumla, maneno yatakayomfanya mkristo aishi maisha ya imani na ushindi.
Chanzo cha jina la blogu hii ni kutoka Mwanzo 28:17-19
17 Naye akaogopa akasema, Mahali hapa panatisha kama nini! Bila shaka, hapa ni nyumba ya Mungu, napo ndipo lango la mbinguni.
18 Yakobo akaondoka asubuhi na mapema,
akalitwaa lile jiwe aliloliweka chini ya kichwa chake, akalisimamisha
kama nguzo, na kumimina mafuta juu yake.
19 Akaita jina la mahali pale Betheli; lakini jina la mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu.
Karibu sana
Neema ya Bwana Yesu Kristo iwafunike
wenu
Mwl. Mary
No comments:
Post a Comment